Sermon'e

on June 1, 2025
This content is part of a series Mahubiri, in .

MKATE WA MBINGUNI

Ni muhimu sana kufahamu somo hili linalohusiana na mkate na hema ya kukutania kwa sababu nafahamu kwamba ni vigumu kumfahamu Yesu na kulifahamu neno kama huelewi hema ya kukutania. Wengi […]

on May 18, 2025
This content is part of a series Mahubiri, in .

UONGOZI NA UINJILISTI

Marko 16:15 UTANGULIZI: * Nataka uone jinsi somo hili linavyoweza kukupa fikra na mawazo yatakayokusaidia kutambua ulipo.   * Nitakuwa naelezea jinsi ya kujenga ulipo kwa kuwaza mbali   * […]

on September 7, 2025
This content is part of a series Mahubiri, in .

MUZIKI JANGWANI

MUZIKI JANGWANI KUTOKA 15:19-27 Kucheza mziki jangwani. Jangwa na kucheza mziki haionekani kuendana. Jangwani ni mahali pa kunusurika na sio kucheza mziki. Ni vigumu kuwaona watu wakicheza jangwani lakini wanawake […]

on May 21, 2025
This content is part of a series Mahubiri, in .

Imani Inayogeuza Maisha

Utangulizi: Imani siyo maneno ya midomoni tu, bali ni msukumo wa moyo unaotupeleka kumgusa Yesu. Mwanamke mwenye ugonjwa wa damu aligusa pindo la vazi la Yesu kwa imani — na […]

on April 9, 2025
This content is part of a series Mahubiri, in .

Moto wa Maombi

Utangulizi: Maombi ni pumzi ya kiroho. Mtu asiyeomba anaishi maisha ya kiroho yaliyokufa. Biblia inatufundisha kuwa maombi ya mwenye haki yana nguvu ya ajabu. Tuna mifano mingi ya watu waliogeuza […]

on March 6, 2025
This content is part of a series Mahubiri, in .

Mungu Anaweza Kugeuza Hali Yako

Utangulizi: Hadithi ya Lazaro inatufundisha kuwa hakuna kilicho chelewa kwa Mungu. Yesu alisubiri siku nne – siku ambayo Wayahudi waliamini kuwa roho ya mtu haina tena uwepo. Alikuja akiwa amechelewa […]